Wachezaji wa England wakishangilia ubingwa wa Kombe la Dunia la Vijana chini ya umri wa miaka 17 baada ya ushindi wa 5-2 dhidi ya Hispania leo mjini Kolkata, India. Mabao ya England yalifungwa na Rhian Brewster, Morgan Gibbs White, Phil Foden mawili na Marc Guehi, wakati ya Hispania yalifungwa na Sergio Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea takeover 'on verge of being approved' after legal resolution found
-
The developments comes just 24 hours after the takeover had been plunged
into fresh doubt over the oligarch's alleged 'refusal to agree' to a
proposed sale...
Dakika 32 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni