• HABARI MPYA

    Saturday, October 28, 2017

    LIVERPOOL YATAKATA ENGLAND, YAWAFUMUA WABABE WA MAN U 3-0

    Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi Huddersfield walioifunga Manchester United 2-1 Oktoba 21. Mabao mengine yalifungwa na Daniel Sturridge, Roberto Firmino dakika ya 58 na Georginio Wijnaldum dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YATAKATA ENGLAND, YAWAFUMUA WABABE WA MAN U 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top