Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi Huddersfield walioifunga Manchester United 2-1 Oktoba 21. Mabao mengine yalifungwa na Daniel Sturridge, Roberto Firmino dakika ya 58 na Georginio Wijnaldum dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AfDB approves $1.5Bn facility to counter food crisis on the continent
-
The African Development Bank has approved a $1.5 billion facility to help
African countries avert a looming food crisis over the next two years.
With the...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni