Chipukizi wa umri wa miaka 18 Edward Nketiah akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Arsenal dakika za 85 na 96 kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 85 kuchukua nafasi ya Reiss Nelson na kuwawezsha Washika Bunduki kushinda 2-1 dhidi ya Norwich City ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Carabao. Bao la Norwich lilifungwa na Josh Murphy dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United star, 37, rolls back the years with stunning free-kick -
as Bruno Fernandes and Harry Maguire share wholesome celebration
-
He already had three goals and 10 assists to his name in just 20 league
games this season, yet he stepped up again in one of Victory's biggest
games of the...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment