Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIVE ab 19:45 Uhr: Die Warm-Up-Show vor dem Halbfinal-Hinspiel
-
Nobby Dickel meldet sich live aus dem SIGNAL IDUNA PARK und gibt euch die
letzten Informationen rund um das Halbfinalhinspiel in der UEFA Champions
League ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment