Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer Aid 2026: England vs World XI line-ups, date, kick-off time and how
to watch on TV
-
Wayne Rooney, Angry Ginge and more feature in the annual Unicef charity
football match, with the London Stadium hosting this year’s game
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment