Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC national scribe leads governorship campaign in Osun, assures of
improved civil servants’ welfare
-
The National Secretary of the All Progressives Congress (APC), Ajibola
Basiru, led the party’s gubernatorial campaign in Ila-Orangun on Monday,
throwing ...
23 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment