Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Ndama Shaaban Hussein ''Pedezyee Ndama Mtoto wa Ng'ombe' akiwa ameshika tama Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya mahasimu, Simba Saa 10:00 jioni
Haijulikani Ndama ambaye ndiye anasimamia timu kwa sasa anawaza nini muda huu
Kushoto kwa Ndama ni Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment