Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Ndama Shaaban Hussein ''Pedezyee Ndama Mtoto wa Ng'ombe' akiwa ameshika tama Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya mahasimu, Simba Saa 10:00 jioni
Haijulikani Ndama ambaye ndiye anasimamia timu kwa sasa anawaza nini muda huu
Kushoto kwa Ndama ni Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga
Christian Eriksen collapses on the pitch for Denmark during friendly
against Ukraine as match is abandoned - almost five years since playmaker's
cardiac arrest at Euro 2020
-
Christian Eriksen collapsed on the pitch during Denmark's friendly against
Ukraine on Sunday.
57 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment