Marcelo akinyoosha kidole juu kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 82 ikiilaza 3-0 Eibar usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Mabao mengine ya Real, Paulo Oliveira alijifunga dakika ya 18 na lingine alifunga Marco Asensio dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Magnificent' Jones shocks Trump to reach semi-finals
-
Watch the closing stages of Jak Jones' surprise 13-9 victory over Judd
Trump to reach the semi-finals of the World Snooker Championship at The
Crucible, Sh...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment