Marcelo akinyoosha kidole juu kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 82 ikiilaza 3-0 Eibar usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Mabao mengine ya Real, Paulo Oliveira alijifunga dakika ya 18 na lingine alifunga Marco Asensio dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup Qualifiers: I don't pay attention to the statistics - Ghana
coach Otto Addo ahead of Chad, Madagascar games
-
Black Stars coach, Otto Addo says he is not interested in the staticstics
ahead of the team's 2026 World Cup qualifiers against Chad and
Madagascar.Ghana e...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment