Marcelo akinyoosha kidole juu kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 82 ikiilaza 3-0 Eibar usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Mabao mengine ya Real, Paulo Oliveira alijifunga dakika ya 18 na lingine alifunga Marco Asensio dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
£20.7m Chelsea flop demands to leave - kicking off the club's fire sale as
Xabi Alonso prepares to swing the axe
-
Jorgensen, who is 24 years old and keen to become a regular starter at a
club, will now be clear to explore his options.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment