Anthony Joshua akimuangalia mpinzani wake, Carlos Takam anavyopepesuka kwa kipigo alichompa katika pambano la uzito wa juu usiku huu Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Uingereza. Joshua ameshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 10 na kutetea taji lake la IBF baada ya refa kusimamisha pambano kumuokoa Takam aliyekuwa anatokwa damu nyingi usoni kufuatia kuchanika juu ya jicho mwanzoni mwa pambano. Ikumbukwe Takam alipewa nafasi ya kupigana katika pambano hili siku 12 kabla, kufuatia Kubrat Pulev kujitoa baada ya kuumia mazoezini na Joshua alikutwa ana uzito mkubwa zaidi ya mpinzani wake walipopimwa juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea star is riddled with nerves after being axed by Liam Rosenior,
writes KIERAN GILL - the Blues boss must now pick him back up again after
anxious Wrexham performance
-
KIERAN GILL: Liam Rosenior spent much of his pre-match press conference
talking up the importance of this FA Cup tie. Important for Chelsea to win
their fi...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment