Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea star is riddled with nerves after being axed by Liam Rosenior,
writes KIERAN GILL - the Blues boss must now pick him back up again after
anxious Wrexham performance
-
KIERAN GILL: Liam Rosenior spent much of his pre-match press conference
talking up the importance of this FA Cup tie. Important for Chelsea to win
their fi...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment