Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid's Tchouameni on Man Utd radar
-
Real Madrid's Aurelien Tchouameni is one of the players Man Utd are looking
at to fill their priority central midfield position this summer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment