Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Parramatta are last on the NRL ladder - here's why one of their all-time
greats wants the team to make a shock move that would OUTRAGE their fans
-
Parramatta Eels great Nathan Hindmarsh has called for the club to release
one of their star players following a poor start to the 2025 season, which
has se...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment