Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Young Chelsea fan holds up brutal sign telling Mauricio Pochettino's flops
he 'DOESN'T want their shirts' during 5-0 Arsenal drubbing, before captain
Conor Gallagher responds to it at full-time
-
A young Chelsea fan delivered a damning assessment of their players by
holding up a sign telling them that he doesn't want their shirt.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment