Winga wa Simba, Abdul Ramadhani ‘Mashine’ (kushoto) na beki Twaha Hamidu ‘Noriega’ wakiwa mazoezini kwenye kambi ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya wenyeji, USM El Harrach mjini El Harrach. Hata hivyo, Simba ilikwenda kufungwa 2-0 El Harrach ingawa ilisonga mbele kwa ushindi wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Thunder vs. Spurs live score, updates, highlights from 2026 Western
Conference Finals Game 5
-
San Antonio heads up with the series tied up.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment