Winga wa Simba, Abdul Ramadhani ‘Mashine’ (kushoto) na beki Twaha Hamidu ‘Noriega’ wakiwa mazoezini kwenye kambi ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya wenyeji, USM El Harrach mjini El Harrach. Hata hivyo, Simba ilikwenda kufungwa 2-0 El Harrach ingawa ilisonga mbele kwa ushindi wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
A correction to a Canadian Press story on a North Shore water treatment
plant
-
NORTH VANCOUVER — In a story published March 5, The Canadian Press said
added annual costs to North Shore residents for a new wastewater treatment
plant wo...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment