Winga wa Simba, Abdul Ramadhani ‘Mashine’ (kushoto) na beki Twaha Hamidu ‘Noriega’ wakiwa mazoezini kwenye kambi ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya wenyeji, USM El Harrach mjini El Harrach. Hata hivyo, Simba ilikwenda kufungwa 2-0 El Harrach ingawa ilisonga mbele kwa ushindi wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Ulster winners to face Tyrone in Sam Maguire groups with Derry to meet
runners-up
-
This year's Ulster champions will face Tyrone in the group stages of the
All-Ireland Senior Football Championship, while the runners-up will meet
Derry.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment