Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How missing Ulster quartet can still play a role in final
-
Iain Henderson, Stuart McCloskey, Rob Herring and Jacob Stockdale will miss
Ulster's Challenge Cup final with Montpellier, but they still have a role
to play.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment