Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jerry Rice's Son Brenden, Frank Gore Jr. Top Landing Spots After 2024 NFL
Draft Day 2
-
After the first three rounds of the draft, a pair of NFL legends' sons
remain undrafted. USC wide receiver Brendan Rice, son of Jerry Rice, and
Southern Miss…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment