Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yukon to implement territory-wide restrictions on cell phones, personal
devices in classrooms
-
The territorial government announced its Personal Mobile Device Use in
Schools Policy on July 21. It limits the use of cell phones, laptops,
tablets, smart...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment