Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG partners WHO, CSOs to end unsafe food cases in Nigeria
-
The federal government has partnered with WHO and CSOs to implement a
comprehensive strategy to eradicate cases of unsafe food in Nigeria.
The post FG pa...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment