• HABARI MPYA

    Sunday, October 29, 2017

    MESSI AFUNGA BAO LA 12 MECHI 10 LA LIGA BARCA YASHINDA 2-0

    Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AFUNGA BAO LA 12 MECHI 10 LA LIGA BARCA YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top