Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA launches racism investigation after Angel Reese-Caitlin Clark clash
-
The WNBA has launched a racism investigation a day after Angel Reese got
into an on-court altercation with Caitlin Clark during the opening-weekend
game be...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment