Kipa Claudio Bravo akifurahia kishujaa baada ya kuokoa penalti za Alfred N'Diaye na Conor Coady kuiwezesha Manchester City kushinda kwa penalti 4-1 usiku wa jana Uwanja wa Etihad baada ya sare ya 0-0 na Wolves katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la Carabao Cup, hivyo kwenda Robo Fainali. Penalti za City zilifungwa na Kevin De Bruyne, Yaya Toure na Leroy Sane, wakati ya Wolves ilifungwa na Leo Bonatini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auburn's Bruce Pearl Slams Fans for Criticizing Chad Baker-Mazara After
Yale Ejection
-
Auburn head coach Bruce Pearl came to the defense of Chad Baker-Mazara
after the junior guard was ejected from the Tigers' 78-76 loss to Yale in
the first…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment