Kipa Claudio Bravo akifurahia kishujaa baada ya kuokoa penalti za Alfred N'Diaye na Conor Coady kuiwezesha Manchester City kushinda kwa penalti 4-1 usiku wa jana Uwanja wa Etihad baada ya sare ya 0-0 na Wolves katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la Carabao Cup, hivyo kwenda Robo Fainali. Penalti za City zilifungwa na Kevin De Bruyne, Yaya Toure na Leroy Sane, wakati ya Wolves ilifungwa na Leo Bonatini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United star, 37, rolls back the years with stunning free-kick -
as Bruno Fernandes and Harry Maguire share wholesome celebration
-
He already had three goals and 10 assists to his name in just 20 league
games this season, yet he stepped up again in one of Victory's biggest
games of the...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment