Shabiki wa kike wa Yanga (kulia), akiwa mwenye huzuni sawa na mashabiki wengine vijana wadogo wa timu hiyo (kushoto) wakati timu yao ipo nyuma kwa 1-0, bao la Shiza Kichuya jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Darves Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Shiza Kichuya (kushoto) akipongezwa na kiungo Mghana, James Kotei baada ya kuifungia Simba dakika ya 57
Shiza Kichuya akishangilia bao lake
Lakini furaha za wana Simba zilizimwa na Obrey Chirwa (kulia) aliyeisawazishia Yanga dakika ya 60 kwa pasi ya Ibrahim Ajib (kushoto)
Chelsea star is riddled with nerves after being axed by Liam Rosenior,
writes KIERAN GILL - the Blues boss must now pick him back up again after
anxious Wrexham performance
-
KIERAN GILL: Liam Rosenior spent much of his pre-match press conference
talking up the importance of this FA Cup tie. Important for Chelsea to win
their fi...
42 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment