Shabiki wa kike wa Yanga (kulia), akiwa mwenye huzuni sawa na mashabiki wengine vijana wadogo wa timu hiyo (kushoto) wakati timu yao ipo nyuma kwa 1-0, bao la Shiza Kichuya jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Darves Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Shiza Kichuya (kushoto) akipongezwa na kiungo Mghana, James Kotei baada ya kuifungia Simba dakika ya 57
Shiza Kichuya akishangilia bao lake
Lakini furaha za wana Simba zilizimwa na Obrey Chirwa (kulia) aliyeisawazishia Yanga dakika ya 60 kwa pasi ya Ibrahim Ajib (kushoto)
Rivers crisis: I took steps to foster peace, unity – Fubara
-
By Seyi Babalola The Governor of Rivers, Siminalayi Fubara, has insisted
that he took steps to foster peace, unity, and stability in his state.
Fubara’s ...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment