Nyota Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya pili ya muda wa ziada baada ya kutimia 90 za kawaida katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Kombe la Carabao usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Antonio Rudiger dakika ya 26, wakati la Everton lilifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90. Chelsea inaungana na Manchester United, Manchester City na Arsenal kwenda robo fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Palace shock Man City to win first major trophy in their history
-
A first half goal from Eberechi Eze is enough for Crystal Palace to secure
a 1-0 win over Manchester City and win the first ever major trophy in the
club's...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment