Nyota Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya pili ya muda wa ziada baada ya kutimia 90 za kawaida katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Kombe la Carabao usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Antonio Rudiger dakika ya 26, wakati la Everton lilifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90. Chelsea inaungana na Manchester United, Manchester City na Arsenal kwenda robo fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea star is riddled with nerves after being axed by Liam Rosenior,
writes KIERAN GILL - the Blues boss must now pick him back up again after
anxious Wrexham performance
-
KIERAN GILL: Liam Rosenior spent much of his pre-match press conference
talking up the importance of this FA Cup tie. Important for Chelsea to win
their fi...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment