Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan RESIGNS as West Ham joint-chair with immediate effect after
hitting out at 'entirely false, decades-old allegations that are set to be
broadcast'
-
West Ham chairman David Sullivan has confirmed he is stepping down amid
what he describes as 'factually incorrect and entirely false' allegations
concernin...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment