Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No clear timescale on Murray's return from injury
-
Andy Murray will not compete at April's Monte Carlo Masters and BMW Open
after he ruptured ankle ligaments at the Miami Open.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment