Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers and Celtic return fire after being cited for Scottish Cup shame
game at Ibrox
-
Celtic and Rangers were last night locked in a war of words after the SFA
finally published the independent review into last season's Scottish Cup
shame ga...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment