Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 74 katika ushindi wa Arsenal wa 5-2 dhidi ya Everton leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 40, Mesut Ozil dakika ya 53, Aaron Ramsey dakika ya 90 na Alexis Sanchez dakika ya 90 na ushei, wakati ya Everton iliyomaliza pungufu baada ya mchezaji wake, Idrissa Gueye kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano yamefungwa na Wayne Rooney dakika ya 12 na Oumar Niasse dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta and Josh Kroenke open up on fixing Arsenal's 'ugly' culture
that Gunners boss walked into six years ago before ruthless axeings - and
owner's secret chat with his dad that triggered the revolution
-
Mikel Arteta has lifted the lid on how he has changed Arsenal's 'ugly'
culture into a winning one who are now Premier League champions.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment