• HABARI MPYA

    Monday, October 30, 2017

    AMBAVYO IBRAHIM AJIB ALIWEKEWA ULINZI MKALI JUMAMOSI

    Beki wa Simba, Mganda Juuko Murshid (kushoto) akiruka kuokoa mpira kwa kichwa dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kulia ni Nahodha na beki wa Simba, Method Mwanjali akiwa tayari kusaidia. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
    Kiungo wa Simba, Jonas Mkude na beki wa timu hiyo, Juuko Murshid akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib. Kushoto kabisa ni mshambuliaji mwingine wa Yanga, Obrey Chirwa akishuhudia
    Ibrahim Ajib akiwa amezingirwa na wachezaji wa Yanga
    Ibrahim Ajib akijaribu kuwania mpira katikati ya wachezaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kulia) na Method Mwanjali (kushoto) 
    Kiungo wa Simba, James Kotei akimdhibiti Ibrahim Ajib
    Ibrahim Ajib akimiliki mpira dhidi ya kiungo wa Simba, Muzamil Yassin
    Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akienda chini mbele ya Ibrahim Ajib
    Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akizuia shuti la Ibrahim Ajib. Kulia ni Jonas Mkude
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO IBRAHIM AJIB ALIWEKEWA ULINZI MKALI JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top