Wachezaji wa Ufaransa wakiongozwa na Nahodha wao, kipa Hugo Lloris kushangilia jana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao ya Ufaransa ambayo inafanikiwa kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thursday night blockbuster to start 2026 Six Nations
-
Ireland will travel to defending champions France in the first-ever
Thursday night fixture in Six Nations' history when the 2026 tournament
begins on 5 Feb...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment