Wachezaji wa Ufaransa wakiongozwa na Nahodha wao, kipa Hugo Lloris kushangilia jana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao ya Ufaransa ambayo inafanikiwa kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chad Reuter 2024 NFL Draft Grades: Chiefs, Steelers, Seahawks Top Expert's
Rankings
-
The NFL draft is complete and with its conclusion, industry experts have
given their grades and analysis of how teams fared with their picks. After
the draft…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment