Wachezaji wa Ufaransa wakiongozwa na Nahodha wao, kipa Hugo Lloris kushangilia jana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao ya Ufaransa ambayo inafanikiwa kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This isn't the first time Liam Rosenior has brought heat on himself with a
goalkeeping gamble - here's why he will back Filip Jorgensen despite PSG
errors... and what Chelsea will do with their goalkeepers this summer
-
KIERAN GILL: While it is hard not to think Liam Rosenior has created an
unnecessary headache for himself, history tells us Chelsea's headstrong
head coach ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment