Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zayn Malik responds to claims he lashed out at fans
-
The former One Direction star has hit back at accusations that he
aggressively shouted at a group of fans as he exited the hotel on Sunday.
According to fo...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment