Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erling Haaland nets first half HAT-TRICK as rampant Man City dismantle
Wolves to keep pressure on Arsenal in Premier League title race
-
Erling Haaland netted an incredible hat-trick for Man City against Wolves
to see Pep Guardiola's side close in on Arsenal at the top of the league.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment