Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Santa Clara beats No. 21 Saint Mary's 76-71, advances to WCC title game vs
Gonzaga
-
Sash Gavalyugov scored 23 points including a back-breaking 3-pointer to
lead Santa Clara to a 76-71 victory over No. 21 Saint Mary's in the
semifinals of t...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment