Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 85 ikiwalaza wenyeji Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga leo. Karim Benzema alianza kuwafungia Real dakika ya 39, kabla ya Jorge Molina kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran may withdraw from the 2026 World Cup: What happens if a qualified team
pulls out?
-
The Iranian government said Wednesday that the country will not take part
in the 2026 FIFA World Cup, despite already securing qualification for the
tourna...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment