Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 85 ikiwalaza wenyeji Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga leo. Karim Benzema alianza kuwafungia Real dakika ya 39, kabla ya Jorge Molina kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wimbledon announces bumper increase in prize money to an eye-watering
£64.2m following revolt among top stars - as Serena Williams' comeback
reaches an abrupt end
-
The All England Club revealed that this year's men's and women's singles
champions will earn £3.6m each (up from £3m) and that first-round losers
will get ...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment