Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili 17 na 55 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 19, David Silva dakika ya 27, Fernandinho dakika ya 60, Leroy Sane dakika ya 62 na Bernardo Silva dakika ya 79, wakati ya Stoke City yamefungwa na Mame Diouf dakika ya 44 na Kyle Walker aliyejifunga dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wimbledon announces bumper increase in prize money to an eye-watering
£64.2m following revolt among top stars - as Serena Williams' comeback
reaches an abrupt end
-
The All England Club revealed that this year's men's and women's singles
champions will earn £3.6m each (up from £3m) and that first-round losers
will get ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment