Tom Cleverley akikimbia kushangilia na Troy Deeney baada ya kuifungia Watford bao la ushindi dakika ya 90 na ushei wakiwafunga Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road leo. Katikati ni mfungaji wa bao lao la Arsenal, Per Mertesacker dakika ya 39 akiwa ameshika kiuno. Bao la Kwanza la Watford lilifungwa na Troy Deeney kwa penalti dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Forest beat Sheff Utd to boost survival chances
-
Callum Hudson-Odoi scores twice as Nottingham Forest take a big step
towards Premier League survival by beating already-relegated Sheffield
United.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment