Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi Uwanja wa Taifa wa Mashujaa mjini Lusaka, Zambia leo kujiandaa na mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Zanaco kesho kwenye jioni Uwanja huo huo. Mechi ya kwanza Jumamosi iliyopita Dar es Salaam timu hizo zilitoka sare ya 1-1
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' (kushoto) akifurahia wakati wa mazoezi hayo
Yanga inahitaji ushindi katika mchezo wa ugenini kesho ili kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Salum Mkemi (kushoto) akipiga picha na Kocha Mkuu, George Lwandamina (katikati)
Maofisa wa bechi la Ufundi wakitazama mazoezi hayo leo
Patrick Mahomes gives peek of charity gala as Travis Kelce, Taylor Swift
and Co hit red carpet for swanky Las Vegas auction - where the Chiefs duo
combine for a hilarious touchdown pass - before QB and friends enjoy round
of golf
-
Patrick Mahomes has given fans an inside look at his Las Vegas charity gala
after a host of star names came together to raise money for his foundation
this...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment