Cristino Ronaldo (katikati) akiwa na Ricardo Quaresma na Joao Moutinho wakati wa kupokea tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ureno usiku wa jana mjini Lisbon, Ureno. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 amewashinda mchezaji wenzake wa Real Madrid, Pepe na kipa wa Sporting Lisbon, Rui Patricio kupata tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag explains double substitution
-
The boss says he had to protect Kobbie Mainoo and Rasmus Hojlund from
injury.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment