• HABARI MPYA

    Tuesday, March 21, 2017

    RONALDO MWANASOKA BORA WA MWAKA URENO

    Cristino Ronaldo (katikati) akiwa na Ricardo Quaresma na Joao Moutinho wakati wa kupokea tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ureno usiku wa jana mjini Lisbon, Ureno. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 amewashinda mchezaji wenzake wa Real Madrid, Pepe na kipa wa Sporting Lisbon, Rui Patricio kupata tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO MWANASOKA BORA WA MWAKA URENO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top