Cristino Ronaldo (katikati) akiwa na Ricardo Quaresma na Joao Moutinho wakati wa kupokea tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ureno usiku wa jana mjini Lisbon, Ureno. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 amewashinda mchezaji wenzake wa Real Madrid, Pepe na kipa wa Sporting Lisbon, Rui Patricio kupata tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment