Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akizungumza na Waandishi wa Habari leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam baada ya kuwasili kutokea Addis Ababa, Ethiopia ambakojana Zanzibar ilipewa uanamacha wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF)
Rais wa zamani wa TFF, Said El Maamry akizungumzia Zanzibar kupewa uanachama wa CAF
Malinzi (kulia) akipongezwa kwa jitihada zake kufanikisha Zanzibar kupewa uanachama wa FIFA
0 comments:
Post a Comment