Cristiano Ronaldo akiifungia bao timu yake ya taifa, Ureno dakika ya18 jana ikifungwa 3-2 na Sweden Uwanja wa Maritimo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andreas Granqvist aliyejifunga dakika ya 34, wakati ya Sweden yalifungwa na Viktor Claesson mawili dakika za 57 na 76 na Joao Cancelo aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wukari/Ibi Rep hopeful expresses confidence in Taraba PDP
-
PDP aspirant Alhaji Muktar Galadima has expressed strong confidence in
Taraba PDP leadership and dismissed crisis rumours as he submits nomination
forms ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment