Juan Carlos Arce akishangilia baada ya kuifungia Bolivia bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Argentina jana Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Bao la pili lilifungwa na Marcelo Martins Moreno dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester City RELEGATED to League One - 10 years after winning the Premier
League
-
Gary Rowett's side had needed an unlikely set of results to preserve their
Championship status, having headed into the match eight points from safety
with ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment