Juan Carlos Arce akishangilia baada ya kuifungia Bolivia bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Argentina jana Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Bao la pili lilifungwa na Marcelo Martins Moreno dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment