Juan Carlos Arce akishangilia baada ya kuifungia Bolivia bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Argentina jana Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Bao la pili lilifungwa na Marcelo Martins Moreno dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment