Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ureno dakika za 36 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary usiku wa jana Uwanja wa Sport Lisboa e Benfica, da Luz kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Kundi. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andre Silva dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Browns' Deshaun Watson Remains on Schedule amid Shoulder Injury Rehab, GM
Says
-
After suffering a shoulder injury last November that forced him to miss the
second half of the 2023 season, Deshaun Watson is reportedly on schedule to
mak...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment