Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ureno dakika za 36 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary usiku wa jana Uwanja wa Sport Lisboa e Benfica, da Luz kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Kundi. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andre Silva dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 'have contacted Ousmane Dembele's representatives over a move'
-
Dembele, who has been stalling over a new Barcelona deal all season, is
said to be talking to a number of clubs as the clock ticks down on his time
to make...
Dakika 7 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni