Nyota wa Brazil, Philip Coutinho (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 kwa Amerika ya Kusini Uwanja wa Arena Corinthians mjini Sao Paulo, Brazil. Coutinho alifunga dakika ya 34, Neymar dakika ya 64 wakati bao lingine lilifungwa na Marcelo dakika ya 86 na Brazil inakuwa timu ya kwanza kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment