Nyota wa Brazil, Philip Coutinho (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 kwa Amerika ya Kusini Uwanja wa Arena Corinthians mjini Sao Paulo, Brazil. Coutinho alifunga dakika ya 34, Neymar dakika ya 64 wakati bao lingine lilifungwa na Marcelo dakika ya 86 na Brazil inakuwa timu ya kwanza kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woj: Warriors' Kenny Atkinson to Receive 2nd Hornets Head Coach Interview
-
The Charlotte Hornets plan to interview Golden State Warriors assistant
Kenny Atkinson a second time for their open head-coaching position, per
ESPN's A
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni