• HABARI MPYA

    Thursday, March 30, 2017

    FIRMINO NA COUTINHO WAIWAHI LIVERPOOL V EVERTON JUMAMOSI

    Roberto Firmino na Philippe Coutinho wakiwa kwenye ndege waliyotumiwa na Liverpool jana ili wawahi mchezo wa Ligi Kuu ya England wa mahasimu wa Merseyside dhidi ya Everton Jumamosi, kufuatia kuiwezesha timu yao ya taifa, Brazil kufuzu Kombe la Dunia kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Paraguay PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FIRMINO NA COUTINHO WAIWAHI LIVERPOOL V EVERTON JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top