• HABARI MPYA

    Tuesday, March 28, 2017

    BRAZIL YAWANIA KUWA TIMU YA KWANZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018

    Kocha wa Brazil, Tite akizungumza na wachezaji wake mazoezini jana kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini dhidi ya Paraguay leo Uwanja wa Nacional de Brasilia Mane Garrincha mjini Brasilia. Brazil inahitaji ushindi ili kujihakikishia kuwa timu ya kwanza kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YAWANIA KUWA TIMU YA KWANZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top