• HABARI MPYA

    Saturday, March 25, 2017

    SILVA NA DIEGO COSTA WOTE WAFUNGA HISPANIA YAIBUTUA 4-1 ISRAEL

    Kiungo wa Manchester City, David Silva (kulia) akipiga shuti kuifungia bao la kwanza Hispania dakika ya 13 usiku wa jana katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Israel kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Vitolo dakika ya 45 na ushei, Diego Costa na Isco wakati la Israel lilifungwa na Lior Refaelov dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SILVA NA DIEGO COSTA WOTE WAFUNGA HISPANIA YAIBUTUA 4-1 ISRAEL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top