Kiungo wa Manchester City, David Silva (kulia) akipiga shuti kuifungia bao la kwanza Hispania dakika ya 13 usiku wa jana katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Israel kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Vitolo dakika ya 45 na ushei, Diego Costa na Isco wakati la Israel lilifungwa na Lior Refaelov dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Group to Tinubu: Probe $1.5bn earmarked for Port Harcourt refinery repairs
-
From Okwe Obi, Abuja The Situation Room on Transparency and
Accountability, has urged President Bola Tinubu, to probe the US$1.5
billion budgeted for r...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment