Uwanja wa ndege wa Madeira utapewa jina la Cristiano Ronaldo ili kumpa heshima mshindi huyo wa mataji Ligi ya Mabingwa Ulaya, La Liga, Ligi Kuu England na kusumbuana mno na Lionel Messi katika kuwania Ballon D'Or miaka michache iliyopita. Utambulisho rasmi kwa Uwanja huo kwa jina lka Ranaldo utafanyika Machi 29, siku ambayo Ureno itamenyana na Sweden mjini Funchal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star could play for his club on Saturday and be behind bars on Tuesday
-
Tigers star Noah Balta could play for Richmond on Saturday and be jailed
for assault on Tuesday after controversial decision to allow him to line up
agains...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment