Uwanja wa ndege wa Madeira utapewa jina la Cristiano Ronaldo ili kumpa heshima mshindi huyo wa mataji Ligi ya Mabingwa Ulaya, La Liga, Ligi Kuu England na kusumbuana mno na Lionel Messi katika kuwania Ballon D'Or miaka michache iliyopita. Utambulisho rasmi kwa Uwanja huo kwa jina lka Ranaldo utafanyika Machi 29, siku ambayo Ureno itamenyana na Sweden mjini Funchal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment