Uwanja wa ndege wa Madeira utapewa jina la Cristiano Ronaldo ili kumpa heshima mshindi huyo wa mataji Ligi ya Mabingwa Ulaya, La Liga, Ligi Kuu England na kusumbuana mno na Lionel Messi katika kuwania Ballon D'Or miaka michache iliyopita. Utambulisho rasmi kwa Uwanja huo kwa jina lka Ranaldo utafanyika Machi 29, siku ambayo Ureno itamenyana na Sweden mjini Funchal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is grass court video proof Nick Kyrgios will take on Bernard Tomic in $2million showdown?
-
Nick Kyrgios has been spotted training on a grass tennis court in the wake
of rival Bernard Tomic's challenge to take part in a winner-takes-all
showdown w...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni