• HABARI MPYA

    Sunday, March 26, 2017

    GIROUD AFUNGA MAWILI UFARANSA YAICHARAZA 3-1 LUXEMBOURG KUNDI A

    Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ufaransa 28 na 77 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana Uwanja wa Josy Barthel mjini Letzebuerg, Luxembourg kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Ufaransa lilifungwa na Antoine Grizemann dakika ya 77, wakati la Luxembourg lilifungwa na Aurelien Joachim dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD AFUNGA MAWILI UFARANSA YAICHARAZA 3-1 LUXEMBOURG KUNDI A Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top