Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ufaransa 28 na 77 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana Uwanja wa Josy Barthel mjini Letzebuerg, Luxembourg kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Ufaransa lilifungwa na Antoine Grizemann dakika ya 77, wakati la Luxembourg lilifungwa na Aurelien Joachim dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment