Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ufaransa 28 na 77 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana Uwanja wa Josy Barthel mjini Letzebuerg, Luxembourg kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Ufaransa lilifungwa na Antoine Grizemann dakika ya 77, wakati la Luxembourg lilifungwa na Aurelien Joachim dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment