Lionel Messi wa Argentina akimfunga kwa penalti kipa wa Chile, Claudio Bravo dakika ya 16 Uwanja wa Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires kuipatia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kanda ya Amerika Kusini, siku 269 baada ya kukosa penalti kwenye fainali ya Copa America PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark’s whirlwind All-Star weekend: Meeting Obama, then lighting up
the game
-
Caitlin Clark had a memorable weekend that started with meeting former
President Barack Obama and ended with a stellar effort in her first
traditional All-...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment