Lionel Messi wa Argentina akimfunga kwa penalti kipa wa Chile, Claudio Bravo dakika ya 16 Uwanja wa Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires kuipatia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kanda ya Amerika Kusini, siku 269 baada ya kukosa penalti kwenye fainali ya Copa America PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hamilton's Ferrari race engineer moved to new role
-
Lewis Hamilton's race engineer from the 2025 Formula 1 season has been
moved to a new role inside Ferrari.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment