Lionel Messi wa Argentina akimfunga kwa penalti kipa wa Chile, Claudio Bravo dakika ya 16 Uwanja wa Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires kuipatia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kanda ya Amerika Kusini, siku 269 baada ya kukosa penalti kwenye fainali ya Copa America PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jalen Hurts Says He Will Set Eagles' Culture After 2023 Collapse: 'I Have a
Standard'
-
The Philadelphia Eagles' 10-1 start last season gave way to losses in six
of their final seven games, including a 32-9 defeat to the Tampa Bay
Buccaneers in…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment