Lionel Messi wa Argentina akimfunga kwa penalti kipa wa Chile, Claudio Bravo dakika ya 16 Uwanja wa Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires kuipatia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kanda ya Amerika Kusini, siku 269 baada ya kukosa penalti kwenye fainali ya Copa America PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment