Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiwaonyesha kitu wenzake wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys na Burundi ukiendelea Uwanja wa Kaitaba Bukoba jioni leo. Serengeti Boys ilishinda 3-0
Simba wapo Bukoba kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar Jumapili
Kipa Peter Manyika (kulia) alibaki kwenye basi kuushuhudia mchezo huo
Simba walikuja timu nzima Uwanja wa Kaitaba leo kuushuhudia mchezo huo
Brandon Aiyuk on 49ers Contract Talks, Trade Rumors: 'Trying to Get What I
Deserve'
-
Brandon Aiyuk is not making it a secret that he wants to get paid this
offseason, whether it's from the San Francisco 49ers or another team.
Appearing on the…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment