Sadio Mane wa Liverpool akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nicolas Otamendi kwenye boksi leo lakini refa hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Liverpool walitangulia kwa bao la penalti la James Milner dakika ya 51, kufuatia Roberto Firmino kuangushwa na Gael Clichy kwenye boksi, lakini Sergio Aguero akaisawazishia Man City akimalizia pasi ya Kevin de Bruyne dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester's title-winning boss Claudio Ranieri 'to leave Roma role after
clashing with head coach' - just days after Foxes were relegated to League
One
-
Claudio Ranieri, who oversaw Leicester's shock Premier League title win a
decade ago, is expected to leave his role as a senior advisor at Roma after
a cla...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment