Sadio Mane wa Liverpool akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nicolas Otamendi kwenye boksi leo lakini refa hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Liverpool walitangulia kwa bao la penalti la James Milner dakika ya 51, kufuatia Roberto Firmino kuangushwa na Gael Clichy kwenye boksi, lakini Sergio Aguero akaisawazishia Man City akimalizia pasi ya Kevin de Bruyne dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wike summons area council chairmen over teachers’ strike, PHC closures
-
Nurses, teachers protest, demand N70,000 minimum wage Byline: Juliana
Taiwo-Obalonye, Abuja Federal Capital Territory (FCT) Minister Nyesom Wike
held an ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment