Cheikh Ndoye wa Senegal (kushoto) akiudhibiti mpira dhidi ya Ogenyi Onazi wa Nigeria (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Hive, Barnet, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Senegal ilitangulia kwa bao la Moussa Sow dakika ya 54 kabla ya Kelechi Iheanacho kuisawazishia Nigeria dakika ya 83 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Darwin Nunez appears to aim DIG at Liverpool in now-deleted tweet amid
speculation over his future
-
The striker has made just eight starts in the Premier League in 2024-25 and
has logged 1000 minutes across 25 league games - an average of 40 minutes
per a...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment