Marouane Fellaini (kushoto) akishangilia na Jesse Lingard (kulia) baada ya wote kufunga katika ushindi wa Manchester United wa 3-1 dhidi ya wenyeji Middlesbrough leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Fellaini alifunga la kwanza dakika ya 30, Lingard la pili dakika ya 62 na la tatu lilifungwa na Antonio Valencia dakika ya 90 na ushei, wakati la kufutia machozi la Boro lilifungwa na Rudy Gestede dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu's opponent, Vergil Ortiz, sends brutal message to Aussie with
savage knockout win: 'Let's get ready for World War 3'
-
Vergil Ortiz has sent a blunt message to Tim Tszyu ahead of their August
super fight showdown by finishing his opponent with a savage body shot in
Los Ange...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment