Marouane Fellaini (kushoto) akishangilia na Jesse Lingard (kulia) baada ya wote kufunga katika ushindi wa Manchester United wa 3-1 dhidi ya wenyeji Middlesbrough leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Fellaini alifunga la kwanza dakika ya 30, Lingard la pili dakika ya 62 na la tatu lilifungwa na Antonio Valencia dakika ya 90 na ushei, wakati la kufutia machozi la Boro lilifungwa na Rudy Gestede dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment