Marouane Fellaini (kushoto) akishangilia na Jesse Lingard (kulia) baada ya wote kufunga katika ushindi wa Manchester United wa 3-1 dhidi ya wenyeji Middlesbrough leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Fellaini alifunga la kwanza dakika ya 30, Lingard la pili dakika ya 62 na la tatu lilifungwa na Antonio Valencia dakika ya 90 na ushei, wakati la kufutia machozi la Boro lilifungwa na Rudy Gestede dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bitcoin back above $73K, Broadcom stock lifted ahead of earnings
-
Yahoo Finance's John Hyland tracks today's top moving stocks and biggest
market stories in this Market Minute, including cryptocurrency bitcoin
(BTC-USD) g...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment