Alexis Sanchez akifumua shuti la mpira wa adhabu kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Venezuela jana Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Esteban Paredes dakika ya saba na 22 huku Sanchez akikosa penalti dakika ya 77, kabla ya Salomon Rondon kuifungia bao la kufutia machozi Venezuela dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bill Belichick Plans to Write Book on Unknown Topic After Patriots
Exit
-
Bill Belichick wasn't known for being a wizard with words in front of a
microphone, but he may have been storing it all up to get out in written
form now t...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment