Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 42 na 45 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Urusi kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Olimpiyskiy Fisht, Sochi. Bao lingine la Ubelgiji lilifungwa na Kevin Mirallas wakati ya Urusi yalifungwa na Viktor Vasin dakika ya tatu, Aleksei Miranchuk dakika ya 74 na Aleksandr Bukharov dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Champions League final: How Kylian Mbappe fallout has affected Real Madrid's build-up
-
This was supposed to be a dream week for Real Madrid, but they have spent
lots of time dealing with their failure to sign Kylian Mbappe, says Guillem
Balague.
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni