• HABARI MPYA

    Wednesday, March 29, 2017

    BENTEKE AFUNGA MAWILI, UBELGIJI YATOA SARE 3-3 NA URUSI

    Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 42 na 45 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Urusi kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Olimpiyskiy Fisht, Sochi. Bao lingine la Ubelgiji lilifungwa na Kevin Mirallas wakati ya Urusi yalifungwa na Viktor Vasin dakika ya tatu, Aleksei Miranchuk dakika ya 74 na Aleksandr Bukharov dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENTEKE AFUNGA MAWILI, UBELGIJI YATOA SARE 3-3 NA URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top