Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 42 na 45 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Urusi kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Olimpiyskiy Fisht, Sochi. Bao lingine la Ubelgiji lilifungwa na Kevin Mirallas wakati ya Urusi yalifungwa na Viktor Vasin dakika ya tatu, Aleksei Miranchuk dakika ya 74 na Aleksandr Bukharov dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United enter the race for in-demand Leipzig forward Dani Olmo
who has a £52m release clause this summer - but face competition from Real
Madrid, Man City, Chelsea and Tottenham for the Spain international
-
SIMON JONES: The 25-year-old Spain international is continuing to excel at
Red Bull Leipzig and has a clause that becomes active this summer when he
can le...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment