Jermain Defoe (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Raheem Sterling aliyemtilia krosi kuifungia England bao la kwanza dakika 21 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Lithuania usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London, England kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia. Mshambuliaji Jamie Vardy naye akatokea benchi kwenda kuifungia bao la pili England dakika ya 65 na kwa ushindi huo, Simba Watatu wanaendelea kuongoza kundi hilo kwa kufikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, wakifuatiwa na Slovakia wenye pointi tisa, Slovenia pointi nane, Scotland pointi saba, Lithuania pointi tano na Malta ambao hawana pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's best women's footy stars slam the NRL for sticking them with
huge problem that would NEVER happen to men: 'Nobody realises the stress we
go through'
-
Queensland's Ali Brigginshaw and her NSW rival Tamika Upton will be bitter
enemies when this year's series starts on Thursday - but right now they're
both ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment