Mario Gomez akienda hewani kuifungia Ujerumani bao la tatu dakika ya 45 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Azerbaijan usiku wa jana Uwanja wa Tofiq Bəhramov adına Respublika stadionu mjini Bakı, Baku katika mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Andre Schurrle mawili dakika za 19 na 81 na Thomas Muller dakika ya 36 wakati la wenyeji lilifungwa na Dimitrij Nazarov dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brandon Aiyuk on 49ers Contract Talks, Trade Rumors: 'Trying to Get What I
Deserve'
-
Brandon Aiyuk is not making it a secret that he wants to get paid this
offseason, whether it's from the San Francisco 49ers or another team.
Appearing on the…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment