Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne
Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo
Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
52 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment