• HABARI MPYA

    Wednesday, March 22, 2017

    SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS

    Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne 
    Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
    Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo 
    Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
    Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top