Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne
Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo
Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
Tottenham vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as Spurs search for much-needed win in huge clash as threat of
relegation becomes reality
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Tottenham host Crystal Palace at the Tottenham Stadium in the
Premier Le...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment