Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne
Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo
Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
JUST IN: Trailer falls off bridge, crushes two buses in Lagos
-
By John Ogunsemore A truck has fallen off the Pen Cinema fly-over bridge
and crushed two mini-buses popularly known as ‘korope’ in Agege area of
Lagos. T...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment