James Rodriguez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Colombia bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ecuador jana Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito kwenuye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika. Bao la pili lilifungwa na Juan Cuadrado PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment