James Rodriguez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Colombia bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ecuador jana Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito kwenuye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika. Bao la pili lilifungwa na Juan Cuadrado PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment