• HABARI MPYA

    Thursday, March 30, 2017

    KOCHA MAYANGA ANAPOKUWA KAZINI KAA NAYE MBALI

    Kocha wa timu ya soka ya wakubwa ya Tanzania, Salum Mayanga akiwapigia kelele wachezaji wake wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Burundi Jumanne Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Taifa Stars ilishinda 2-1 dhidi ya Int'hamba Murugamba
    Salum Mayanga alikuwa hatulii kwenye Jumanne Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 
    Kuna wakati Salum Mayanga aliongea huku amekunja ngumi kwa hisia
    Salum Mayanga alipiga kelele na mayowe ya aina zote juzi 
    Na kuna wakati kwa hasira kocha Salum Mayanga alipiga teke upepo baada ya Ibrahim Hajib kukosa bao la wazi
    Wakati mwingine alitulia kuangalia mambo yanavyokwenda uwanjani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MAYANGA ANAPOKUWA KAZINI KAA NAYE MBALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top