• HABARI MPYA

    Saturday, March 25, 2017

    IVORY COAST YAANZA KUREJESHA MAKALI, YAIBAMIZA 2-0 URUSI

    Jonathan Kodjia wa Aston Villa akishangilia baada ya kuifungia Ivory Coast bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa FK Krasnodar mjini Krasnodar. Bao lingine la Ivory Coast lilifungwa na Wilfried Zaha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IVORY COAST YAANZA KUREJESHA MAKALI, YAIBAMIZA 2-0 URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top