Jonathan Kodjia wa Aston Villa akishangilia baada ya kuifungia Ivory Coast bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa FK Krasnodar mjini Krasnodar. Bao lingine la Ivory Coast lilifungwa na Wilfried Zaha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment