Antoine Griezmann wa Ufaransa akishangilia bao lililokataliwa baada ya kurudiwa kutazamwa kwenye teknolojia ya video katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Hispania jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Hispania walishinda 2-0 mabao ya 68' David Silva kwa penalti dakika ya 68 na Gerard Deulofeu dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samuel Inkoom urges massive support for Dreams FC ahead of semifinal
showdown with Zamalek
-
Former Asante Kotoko and Hearts of Oak defender Samuel Inkoom has called
for massive support for Dreams FC as they prepare to face Zamalek in the
second-le...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment