Antoine Griezmann wa Ufaransa akishangilia bao lililokataliwa baada ya kurudiwa kutazamwa kwenye teknolojia ya video katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Hispania jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Hispania walishinda 2-0 mabao ya 68' David Silva kwa penalti dakika ya 68 na Gerard Deulofeu dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment