Paulinho akishangilia na mchezaji mwenzake, Philippe Coutinho (kulia) baada ya kufunga mabao matatu Brazil dakika za 19, 52 na 90 na ushei katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Uruguay Uwanja wa Centenario mjini Montevideo Alfajiri ya leo katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Urusi 2018 kwa kanda ya Amerika Kusini. Uruguay walitangulia kwa bao la penalti la mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani dakika ya tisa wakati bao lingine la Brazil lilifungwa na Neymar dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JUST IN: Trailer falls off bridge, crushes two buses in Lagos
-
By John Ogunsemore A truck has fallen off the Pen Cinema fly-over bridge
and crushed two mini-buses popularly known as ‘korope’ in Agege area of
Lagos. T...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment