Daniele De Rossi akishangilia na Andrea Belotti baada ya nyota huyo wa Roma kufunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya Migjen Basha kumuangusha Andrea Belotti kwenye boksi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Bao lingine la Italia lilifungwa na Ciro Immobile dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester City RELEGATED to League One - 10 years after winning the Premier
League
-
Gary Rowett's side had needed an unlikely set of results to preserve their
Championship status, having headed into the match eight points from safety
with ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment