Daniele De Rossi akishangilia na Andrea Belotti baada ya nyota huyo wa Roma kufunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya Migjen Basha kumuangusha Andrea Belotti kwenye boksi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Bao lingine la Italia lilifungwa na Ciro Immobile dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment