![]() |
| Kiungo mshmbuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akiwwatoka wachezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Kiungo wa Yanga SC, Salum Telela akimpitisha tobo beki wa Mbeya City, Juma Nyosso jana |
![]() |
| Kiraka wa Yanga SC, Mbuyi Twite (kulia) akimtoka kiungo wa Mbeya Cotu, Raphael Daudi |
![]() |
| Winga wa Yanga SC, Simon Msuva alifanikiwa kumlamba chenga kipa wa Mbeya City, Hannington Kalyesebula, lakini akapigiwa filimbi ya kuotea na refa Mathew Akrama wa Mwa za |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Amissi Tambwe akimtoka beki wa Mbeya City, Christian Sembuli |








.png)
0 comments:
Post a Comment